Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Nishati

Gas Company (Tanzania) Limited

Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Usambazaji wa Gesi Asilia Dar es Salaam - BQ and ENERGO

Imewekwa: 31 July, 2025
Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Usambazaji wa Gesi Asilia Dar es Salaam - BQ and ENERGO
  • Mkataba ulisainiwa tarehe 20 Disemba, 2024.
  • Utekelezaji wa mradi ulianza tarehe 28 Machi, 2025.
  • Utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 90%.
  • Manunuzi ya FMS skid yanaendelea.
  • Mradi unategemewa kukamilika tarehe 24 Agosti, 2025.